Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kinapenda kuwataarifu wote kuwa tumefungua kanzidata (database) ya kwanza ya Kidigitali Tanzania iliyosheheni taarifa mbalimbali za Katiba na Pia imefungua Kituo maalamu cha Taarifa za Katiba Tanzania. Ingia kwenye link hii uweze kupakua taarifa hizi http://katiba.humanrights.or.tz na pia unaweza kutembelea office za Kituo cha Sheria na Haki za binadamu zilizopo Mbezi Beach uweze kutumia kituo hiki kupataa taarifa mbalimbali




Social Buttons